Wednesday, May 13, 2009

SIJUI NDIE HUYU!

Hapa ni kwa bibi Koero, majira asubuhi, Binti huyu alikuwa ameandaliwa chai na Magimbi na bibi yake. Jamani maisha ya kijijini ni mazuri.
Hebu nisaidieni, hivi huyu ni nani?

4 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Eeh jamani chai na magimbi umenikumbusha mbali wakati naishi Matetereka. ok mi nadhani huyo ni yeye mwenyewe bibi Koero.

mumyhery said...

naomba hiyo shuka niongeze mtaji

Fadhy Mtanga said...

Mi naomba hiyo shuka. Huku nilipo kuna baridi kimtindo. Huyo atakuwa ni mwenyewe huyo!

Simon Kitururu said...

Huyu ndiye mwenyewe!