Monday, October 25, 2010

OCTOBER 31, SIKU AMBAYO CCM HAWATAAMINI!

Kama ilivyotokea miaka 2000 iliyopita!

8 comments:

Simon Kitururu said...

Mmmmmh!

malkiory said...

Tumekukosa katika medani za kisiasa,nadhani uwepo wako kwenye kampeni kwa njia ya ku blogu ungeweza kuwa chachu, lakini hakuna kilichoharibiki kwa huu ujumbe wa dk za lala salama.

Mija Shija Sayi said...

Ukiamini kila kitu chawezekana.

Yasinta Ngonyani said...

Hakuna lisilowezekana!!

Anonymous said...

kila kitu kina mwisho wake. Huu ni mwisho wa sisiem

MARKUS MPANGALA said...

Ninayo maswali siyo haba. Lakini ngoja tu ninyamaze maana hilo kaburi na kitambulisho cha mpiga KURA???? duh!!!

chib said...

Duh! Yaani kwa sasa sisiemu wamemzika rais wao na wabunge!

John Mwaipopo said...

mara ccm pindu/chali!!