HALOTEL IMEINGIA SABA SABA KWA KISHINDO, IKIWEKA MAZINGIRA YA TEKNOLOJIA
KWA KIWANGO KIKUBWA ZAIDI
-
Kampuni ya mawasiliano ya Halotel Tanzania imezindua rasmi na kwa kishindo
ushiriki wake katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es
Salaam (D...
8 hours ago

7 comments:
what a nostalgia!
Mwaipopo, eti nini?
Mzee mkundi naye yupo kama mzee wangu mpaka sumni ameitunza duh! senti moja, senti tano ....
Da' Yasinta inaitwa Sumni au Thumni?
Manoti pesa!
Kwa mtu kama mimi ukiniuliza swali kama hilo nitakuambia kuwa `unauliza jibu'
Tumezitumia hizo sana, na thamani yake nafikiri ni kubwa kuliko hizi tunazotumia sasa hivi, anayebisha aseme!
kaka shaban nawe huna dogo mweeeh! sawa ni Thumni. Kaaazi kwelikweli.
Post a Comment