Basi na Lori zagongana uso kwa uso Moro Watu kadhaa wahofiwa kufa
-
*Watu kadhaa wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa baada ya basi la abiria
kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Mlima “S”, kijiji cha Lumango,
w...
1 hour ago


6 comments:
Hahahahahaaaaaa. Ni yeye. Naniiii!!!!!!!!!
:-) Huyu ni kama Koero kwa vile anatoka dar basi anajisikia baridi na huo mblanketi wake hahahaaaaaaaa
Huyu ni Koero bibi kamwambia amsaidie kumtafuta jogoo mkubwa wa kuchinja.
Hahaahaha!!
Mpaka leo umesimama tu Koero katika njia ya kuelekea kanisani?teh!angalia miguu itaingia tumboni shauri yako!
hapo alikuwa likizo, lakini bibi jumapili bibi kamuamsha asubuhi asubuhi pamoja na kabaridi aende kanisani
duh!
huyu ni kiboko, kajifunika blanketi. Inaonekana akiwa kitandani kajikunyata kwa baridi kali, bibi yake aliwaamsha wajukuu wake kwa kusema 'Vukani'
Ni yeye huyu huyu!
Post a Comment