BARABARA YA LAMI YA KILOMITA 1.6 KUINGIA HOSPITALI YA JIJI DODOMA
KUCHOCHEA HUDUMA ZA AFYA NA MAENDELEO NALA
-
NALA - DODOMA
HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imetekeleza ujenzi wa barabara ya lami yenye
urefu wa kilomita 1.6 kutoka barabara kuu ya Bahi hadi Hospitali ...
1 hour ago


6 comments:
Hahahahahaaaaaa. Ni yeye. Naniiii!!!!!!!!!
:-) Huyu ni kama Koero kwa vile anatoka dar basi anajisikia baridi na huo mblanketi wake hahahaaaaaaaa
Huyu ni Koero bibi kamwambia amsaidie kumtafuta jogoo mkubwa wa kuchinja.
Hahaahaha!!
Mpaka leo umesimama tu Koero katika njia ya kuelekea kanisani?teh!angalia miguu itaingia tumboni shauri yako!
hapo alikuwa likizo, lakini bibi jumapili bibi kamuamsha asubuhi asubuhi pamoja na kabaridi aende kanisani
duh!
huyu ni kiboko, kajifunika blanketi. Inaonekana akiwa kitandani kajikunyata kwa baridi kali, bibi yake aliwaamsha wajukuu wake kwa kusema 'Vukani'
Ni yeye huyu huyu!
Post a Comment