Washindi Tuzo ya Kiswahili ya Safal kujulikana Ijumaa
-
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa ALAF Limited, Hawa Bayumi
(katikati) akitangaza orodha fupi ya waandishi waliofanikiwa kutinga
fainali ...
10 hours ago


8 comments:
Mmmmmh!
Tumekukosa katika medani za kisiasa,nadhani uwepo wako kwenye kampeni kwa njia ya ku blogu ungeweza kuwa chachu, lakini hakuna kilichoharibiki kwa huu ujumbe wa dk za lala salama.
Ukiamini kila kitu chawezekana.
Hakuna lisilowezekana!!
kila kitu kina mwisho wake. Huu ni mwisho wa sisiem
Ninayo maswali siyo haba. Lakini ngoja tu ninyamaze maana hilo kaburi na kitambulisho cha mpiga KURA???? duh!!!
Duh! Yaani kwa sasa sisiemu wamemzika rais wao na wabunge!
mara ccm pindu/chali!!
Post a Comment