Huwa tunawalaumu Wachina kutokana na bidhaa zao kuonekana hazina ubora lakini kwa upande wa Yebo Yebo nawafagilia, kwa mfano watoto hawa, wote wametinga Yebo Yebo na ambazo kwa kweli bei yake ni rahisi kuimudu hata kwa familia zenye kipato kidogo. Na zinasaidia sana kwa watoto kuchezea na kuepuka kuchomwa na miiba au kuingiwa na funza kwa wale wanaoishi maeneo yenye funza kama vile kule Sambaani Lushoto. Hapa watoto hawa wakiwa wamepozi kinamna
RAIS SAMIA ATOA BIL 5 KUREJESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA NA MADARAJA - LINDI
-
Mvua kubwa za El-Nino zilizonyesha zimeleta athari maeneo mbalimbali hapa
Nchini ikiwemo katika Mkoa wa Lindi ambapo zimesababisha uharifu mkubwa wa
miundo...
26 minutes ago
2 comments:
Wako katika umri mzuri kweli - ule umri ambao mengi ya letwayo na ukubwa hawayajui bado!
Ila kwa hali inakoenda sasa hivi mpaka watoto watajifunza RUSHWA ni nini na ni nini ufanye ili uwefisadi ufaidiye NCHI.:-(
safi sana.. Hivi umewaza nini?
Yeboyebo pouwa sana aisee. Unaivaa kama ndala uendapo bafuni. Kisha waivaa kama kiatu cha wazi (sandals) kwenye mtoko.
Kweli maisha bora haya!
Post a Comment