NAIBU WAZIRI WA NISHATI JUDITH KAPINGA AGAWA BURE MITUNGI YA TAIFA GAS 1500
KIJIJI CHA MSOMELA
-
Na Mwandishi Wetu,Tanga
NAIBU Waziri wa Nishati Judith Kapinga amegawa mitun gi ya gasi 1500 kwa
wakazi wa Kijiji cha Msomela Handeni Wilayani Hande...
58 minutes ago
10 comments:
Umefanya jambo la maana sana nafurahi kwa niaba yako kwani wewe ni mwandishi mmoja mzuri sana ambaye nakuamini. Ubarikiwe, unapendwa.
Unafanya vema na naamini utafanya vema na huko pia.
Unapendwa na UNAOMBEWA KILA LILILO JEMA
Uamuzi mzuri. Makala zako zina uasili na upekee na naamini kwamba zitatia chachu katika gazeti hilo.
Tazama hapa kuona hali halisi ya usomwaji wa makala za kiuchambuzi katika magazeti yetu: http://matondo.blogspot.com/2009/11/uzembe-wa-watu-kusoma-makala-za.html
Nakutakia kila la heri dada Koero!
wewe ni mwandishi bora. katu usiache uwezo wako udumae. ni vema sasa tutakusoma na huko pia.
Una blogu nzuri inasema mabo yalivyo lakini. Ni matumaini yangu kuwa kwa kusoma blogu hii, mahangaikoyamkenya.blogspot.com pia itakuwa nzuri.
Hongera ni wachache huweza kufanya maamuz ya maana! "Human usualy wants to be like some one but not like him or herself" u not going to die a copy. Congrats
Hongera hii ni hatua muhimu kuelekea kwenye mafanikio zaidi
Ni wakati mzuri, ni wakti bora wa kilichobora, ndiyo maana kisa cha ZAINABU kimenikuna sana,.........
Nimerejea tena nilisahau kuhusu huyu dada Yasinta...... bado wewe nakumbuka nilikueleza jambo hilo, kwani wewe mtu wa mambo ya afya, nakumbuka dada Subi katuandikia sana mambo hayo kuhusu magonjwa mbalimbali katika Gazeti hili nisilokosa kulisoma maana nimegundua kitu fulani tofauti na mengineyo.
Yasinta upelikisi??????
Hongera sana kaza buti
Post a Comment