Tuesday, February 15, 2011

SIKU YA GULIO KATERERO!

Ukiangalia kwa mbaaali unaweza kumuona kaka yangu Kamala

9 comments:

Anonymous said...

Hilo jina yani Katarero kiswahili ni matusi tupu naneo moja lina maana nyingi sana.

Mzee wa Changamoto said...

Na kwa kariiiibu najiona. Mimi yulllee, Vumbi mpaka kwenye kope. Unaniona?
Karibu tena dada
ULIKUMBUKWA na asiyeonekana. Yaani mimi mwana mpotevu
Lol

Yasinta Ngonyani said...

Umenikumbusha mbali kweli hadithi hii ya "Siku ya Gulio Katerero" nadhani nilikuwa darasa la nne. Naona nami mnaniona hapo ni hicho kigauni changu na mivumbi kibaoooo:-)

Masangu Matondo Nzuzullima (MMN) said...

Nilijua maana ya jina hili kwa undani wakati nikisoma Bukoba. Wahaya mhhhh!

Kweli dada Yasinta - hata mimi nakumbuka hiyo habari ya "Siku ya Gulio Katerero". Nadhani ilikuwa katika kitabu cha Kiswahili cha darasa la nne

Rachel Siwa said...

hata mimi nakumbuka Gulio katerero!

chib said...

Kumuona Kamala yahitaji kuazima miwani ya kibabu wa miaka 100, tena kibogoyo hakyanani!

Simon Kitururu said...

Naamini hapa gulioni lazima kuna mchumba wangu!:-(

kamala Lutatinisibwa Lutabasibwa said...

duhu kwenye makaterero?? muhimu kufanya mambo mswano, utaganganiwa kwani utafikisha mwisho wa ggulio mpaka uchuvu

Rachel Siwa said...

hehehee hata mimi naamini hivyo kaka wa mimi @Kitururu!