Friday, June 24, 2011

MUNGU AKITAKA KUKUANGAMIZA WAKATI MWINGINE ANAKUNYIMA NURU!







Nilikuwa nawaza tu!

4 Maoni:

emu-three said...

Kweli Mungu ana silaha nyingi na vifaa vya kila namna, ila ndio hivyo twajifanya twajua kila kitu, tuna nguvu, tuna utawala, tuna...hata hivyo hatushukuru!

Anonymous said...

Changamoto ninayojiuliza, hivi hawa wengine walioko Mungu hajataka kuwaangamiza tu? Wao ni wema zaidi ya hawa jamaa? Inchanganya wakati mwingine!

SIMON KITURURU said...

MUNGU!

Kwanini uumbe BINADAMU halafu uwaangamize?

Nawaza tu kwa sauti!

kamala Lutatinisibwa Lutabasibwa said...

swali la kitururu limetulia! Mungu kamwe hawezi angamiza, msichanganye ya mbingu na dunia, eti ni Mungu!