Tuesday, April 12, 2011

BODA BODA ILIPONITEGUA MGUU.

Juzi katika harakati zangu za kutafuta mikwanja, nikajikuta nikipigwa defrao na Bodaboda maeneo ya Msasani.

Niliwahishwa Hospitali na ikaonekana nimeteguka kifundo cha mguu wa kushoto. nimefungwa POP na sasa naendelea vyema.

9 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Ahsante kwa taarifa maana kweli ulipotea kweli. Na nakuombea upone kwa haraka. Duh hizi ajali hizi kaazi kwelikweli . Mungu awe nawe...Pamoja daima

Simon Kitururu said...

Pole Mdada!

o'Wambura Ng'wanambiti! said...

Pole kwa ajali...

get well soon Mdada!

malkiory said...

Pole sana.

Mzee wa Changamoto said...

Mpola muto wange. Orware noikya

emu-three said...

Pole sana Msasani maeneo gani maana nami nabangaiza maeneo hayo nataka kuja kukuona, na kukujua hali

Koero Mkundi said...

Ahsanteni ndugu zangu kwa kunipa pole, naendelea vizuri kwa kweli, na jambo la kufurahisha nimepata muda wa kuperuzi blog mbalimbali na pia kupata wasaa wa kuandika makala zangu. yaani nilikuwa sina muda, na sasa nataka niandike ujinga mwingi kisha niwarushie hapa kibarazani kwangu, kaeni mkao wa kusoma majungu...... LOL

Kaka M-Three...nashukuru kwa kutaka kuja kuniona, ingawa ajali niliipata hapo Msasani, lakini kwa sasa niko Mbezi Beach kwa dada yangu nikijiuguza, niliondoka nyumbani Mikocheni tangu juzi na kuja huku Mbezi kwa dada yangu kudeka kidogo....LOL

kamala Lutatinisibwa Lutabasibwa said...

hongera

Rachel Siwa said...

Pole sana na tunashukuru kusikia unaendelea vyema!