Friday, August 27, 2010

JE UMEWAHI KUZITUMIA HIZI?







Nimezikuta kwenye mkoba wa Mzee Mkundi

7 comments:

John Mwaipopo said...

what a nostalgia!

Maisara Wastara said...

Mwaipopo, eti nini?

Yasinta Ngonyani said...

Mzee mkundi naye yupo kama mzee wangu mpaka sumni ameitunza duh! senti moja, senti tano ....

Unknown said...

Da' Yasinta inaitwa Sumni au Thumni?

Simon Kitururu said...

Manoti pesa!

emu-three said...

Kwa mtu kama mimi ukiniuliza swali kama hilo nitakuambia kuwa `unauliza jibu'
Tumezitumia hizo sana, na thamani yake nafikiri ni kubwa kuliko hizi tunazotumia sasa hivi, anayebisha aseme!

Yasinta Ngonyani said...

kaka shaban nawe huna dogo mweeeh! sawa ni Thumni. Kaaazi kwelikweli.