MCHAKATO WA KUMPATA MEYA NA NAIBU MEYA MANISPAA YA MOROGORO WAFUNGULIWA
RASMI, WAGOMBEA CCM WACHUKUA FOMU.
-
Farida Mangube, Morogoro
Zoezi la kuchukua fomu za kugombea nafasi ya Umeya na Naibu Meya wa
Manispaa ya Morogoro kwa tiketi ya chama Cha Mapinduzi (Ccm) ...
1 hour ago

7 comments:
what a nostalgia!
Mwaipopo, eti nini?
Mzee mkundi naye yupo kama mzee wangu mpaka sumni ameitunza duh! senti moja, senti tano ....
Da' Yasinta inaitwa Sumni au Thumni?
Manoti pesa!
Kwa mtu kama mimi ukiniuliza swali kama hilo nitakuambia kuwa `unauliza jibu'
Tumezitumia hizo sana, na thamani yake nafikiri ni kubwa kuliko hizi tunazotumia sasa hivi, anayebisha aseme!
kaka shaban nawe huna dogo mweeeh! sawa ni Thumni. Kaaazi kwelikweli.
Post a Comment