TFS YAONGOZA TUZO YA USIMAMIZI BORA WA FEDHA 2025
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha
Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umeendelea kung’ara kitaifa baada
ya kutwaa Tuzo ya Usimamizi Bora wa Fedha kwa Taasi...
14 minutes ago
7 comments:
what a nostalgia!
Mwaipopo, eti nini?
Mzee mkundi naye yupo kama mzee wangu mpaka sumni ameitunza duh! senti moja, senti tano ....
Da' Yasinta inaitwa Sumni au Thumni?
Manoti pesa!
Kwa mtu kama mimi ukiniuliza swali kama hilo nitakuambia kuwa `unauliza jibu'
Tumezitumia hizo sana, na thamani yake nafikiri ni kubwa kuliko hizi tunazotumia sasa hivi, anayebisha aseme!
kaka shaban nawe huna dogo mweeeh! sawa ni Thumni. Kaaazi kwelikweli.
Post a Comment