SHULE YA SEKONDARI MWAMBISI YAIBUKA KIDEDEA SHINDANO LA NMB LA KUPANDA NA
KUTUNZA MITI NCHINI
-
Na Khadija Kalili , Michuzi TV
SHULE ya sekondari Mwambisi iliyopo Kongowe Wilayani Kibaha Mkoani Pwani
imeibuka kidedea kwa asilimia 99 katika shind...
1 hour ago
7 comments:
what a nostalgia!
Mwaipopo, eti nini?
Mzee mkundi naye yupo kama mzee wangu mpaka sumni ameitunza duh! senti moja, senti tano ....
Da' Yasinta inaitwa Sumni au Thumni?
Manoti pesa!
Kwa mtu kama mimi ukiniuliza swali kama hilo nitakuambia kuwa `unauliza jibu'
Tumezitumia hizo sana, na thamani yake nafikiri ni kubwa kuliko hizi tunazotumia sasa hivi, anayebisha aseme!
kaka shaban nawe huna dogo mweeeh! sawa ni Thumni. Kaaazi kwelikweli.
Post a Comment