Saturday, August 14, 2010

TAFAKARI YA LEO: NDIO KWANZA NINASONGA MBELE

Eee.. Mungu nipe uwezo

3 comments:

MARKUS MPANGALA said...

mama Mchungaji koero, leo umenikuna kwa kusema sentensi moja tu yenye falsafa. ujaliwe mema kwa kila utendalo na mola akuepushe na mabaya yote

MATHAYO 6;7-8

Simon Kitururu said...

Kifua CHA MUHUSIKA kizuri kweli!

Itabidi nirudi baadaye kusoma maandishi ya T -shirt!:-(

emu-three said...

Mambo ya siasa ni mkang'anyiko, uwongo mwingi na huo uwongo una ukweli katika kuwapumbaza watu mwisho wa siku mkigundua imekula kwenu