Monday, July 26, 2010

JE, WAWEZA KUHISI NINI?

????????????

9 comments:

chib said...

Maboksi matupu yanauzwa tayari kuwekewa zawadi za upendo wa dhati au....

Unknown said...

unaolewa hivi karibuni????

Fadhy Mtanga said...

Maboksi matatu halafu yamekaa kimitego....nahisi umeshaingia kwenye mtengo ili ufungwe pingu za maisha. Ila sema tu roho inaniuma kweli wakati pweza alishanitabiria mie ndo kinara ina maana kanidanganya?

Simon Kitururu said...

Umeolewa nini mbora wedi!

John Mwaipopo said...

naungana na kaka chib. ni maboksi ya zawadi lakini matupu. bado kuwekewa zawadi.

fadhy tatizo unapata ushauri wa pweza wa feri. nibeep nikutumie namba ya pweza paulo.

emu-three said...

Mimi nahisi upendo, kwani zawadi ni ishara ya upendo na amani, iwe unaolewa au unapeleka kwa wanao-oa, au itakavyokuwa lakini kuna kaishara kafuraha na upendo. Hongera

kamala Lutatinisibwa Lutabasibwa said...

"mipira"

o'Wambura Ng'wanambiti! said...

kuna dhawadi ya kilimokwanza ya familia.

boksi lenye 'mbuzi' yenye kukuna saidi ndilo litakalotwaliwa kwenye utukufu...lol!

MARKUS MPANGALA said...

SITANII
jamani miminaona huu ni UFISADI WA MAPENZI haki mungu hivi. Tena ufisadi huo umejiingiza hata Mama Mchungaji nadhani hakujua. NAYAONA MADUME MATATU YANAWANIA UPENDO WA KOERO. bishaaaaaaa!!!! najua kuna mmoja unampenda sana, kuna mmoja anakuvutia kwa ucheshi na mwingine ni kutokana na namna anavyokubembeleza. yaani mmoja unampenda mwenyewe na mwingine anakupenda wewe na wa tatu unavutiwa tu namna unavyopenda mambo yake duuuhhh ama kweli iko kazi hapa.

CHAGUA MWENYEWE YUPI ANAIKUNA NAFSI YAKO ili ujue kuwa watu wanajua kula kwa kuchagua. LAKINI KUMBUKA HAWA WANAUME WOTE WANA NJAA NA WEWE, SIJUI WAKISHIBA ITAKUWAJE jibu unalo......